He is a Ordinary Diploma Of Computer Science also holder of BSc(Cs)Bachelor of Science in Computer Science from ST. .JOSEPH UNIVERSITY to RUCU. The C.E.O and founder of I.T MAN SOLUTION Tz1 with enough knowledge in Computer mainteance and softwares, android tricks, web designing and graphics design, part-time blogger and softwares distributor with enough knowledge on entrepreneurship. Reach him 24/7 through WhatsApp 0716 68 43 67 and 0762324735 itmansolution2016@gmail.com.
Thursday 2 June 2016
Sentensi 3 za Jose Mourinho baada ya kuulizwa kuhusu upinzani wake na Pep Guardiola
Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2016/2017 unatarajiwa utakuwa moja kati ya msimu unaovutia zaidi Uingereza, hiyo inatokana na Jose Mourinho kujiunga na Man Unitedlakini pia Pep Guardiola kujiunga na Man City, upinzani wa makocha hao ulianziaHispania mmoja akiifundisha FC Barcelona na mwingine akiifundisha Real Madrid.
Upinzani wa makocha ulianzia Hispania ila unatarajiwa kurudi Uingereza baada ya wote kujiunga na vilabu vyenye upinzani mkubwa na vinatokea jiji moja la Manchester, Jose Mourinho leo May 31 2016 alifunguka na kueleza mambo kadhaa kuhusu upinzani wao na Gurdiola utaendelea?
“Kilichotokea miaka miwili iliyopita hakinifanyi mimi kuwa na hatia, miaka miwili mimi na Pep tuliakuwa katika Ligi moja Ubingwa ilikuwa achukue yeye au mimi, kwa hali kama hiyo upinzani wangu binafsi na yeye lazima uendelee kwa sababu utakuwa na maana fulani katika Ligi Kuu Uingereza”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment