BURUDANI MBALIMBALI

KATIKA HALI YA KUSHANGAZA CHAMA CHA SOKA UTURUKI KIMEWAPIGA FAINI DROGBA NA EBOE KWA KUVAA T_SHIRT KAMA UZIONAZO




Didier Drogba na Emmanuel Eboue watatozwa faini na chama cha mpira cha Uturuki baada ya kuonyesha vesti ambazo zilionyesha ujumbe wa kuguswa kwao na kifo cha Nelson Mandela.


Wachezaji hao wawili wa kimataifa toka Ivory Coast waliziweka wazi hisia zao kwa ujumbe huo mara baada ya mechi ya Galatasaray dhidi ya Elazigspor mnamo siku ya Ijumaa, kwenye mechi ya kwanza toka kifo cha kiongozi huyo wa Afrika Kusini kilipotokea.


Nguli huyo wa Chelsea, Drogba alivua jezi yake kwenye mechi iliyoisha kwa kushinda 2-0 na kisha kuonyesha kuguswa kwake na kifo hicho, ambapo maandishi kwenye vesti yake yalisoma: ‘Thank you Madiba’ huku yale ya nyota wa zamani wa Arsenal, Emmanuel Eboue yalisema: ‘Rest in Peace Nelson Mandela’.











ARSENAL WALAZWA MABAO MAWILI BILA NA NAPOLI. 


HIGUAN AKISHANGILIA GOLI ALILOWANYOSHA ARSENAL






MSIMAMO MAKUNDI YA UEFA CHAMPION LEAGUE

Group A

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Man Utd6914
2Bayer 04 Leverkusen6-110
3Shakhtar Donetsk618
4Real Sociedad6-91

Group B

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Real Madrid61516
2Galatasaray6-67
3Juventus606
4FC Copenhagen6-94

Group C

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Paris Saint Germain61113
2Olympiakos6210
3Benfica6010
4RSC Anderlecht6-131

Group D

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Bayern Munich61215
2Man City6815
3Viktoria Plzen6-113
4CSKA Moscow6-93

Group E

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Chelsea6912
2FC Schalke 046010
3Basel6-18
4Steaua Bucharest6-83

Group F

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Borussia Dortmund6512
2Arsenal6312
3Napoli6112
4Marseille6-90

Group G

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Atlético Madrid61216
2Zenit St Petersburg6-46
3FC Porto6-35
4FK Austria Vienna6-55

Group H

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
1Barcelona61113
2Milan639
3Ajax6-38
4Celtic6-113

More from Football



1 comment: