He is a Ordinary Diploma Of Computer Science also holder of BSc(Cs)Bachelor of Science in Computer Science from ST. .JOSEPH UNIVERSITY to RUCU. The C.E.O and founder of I.T MAN SOLUTION Tz1 with enough knowledge in Computer mainteance and softwares, android tricks, web designing and graphics design, part-time blogger and softwares distributor with enough knowledge on entrepreneurship. Reach him 24/7 through WhatsApp 0716 68 43 67 and 0762324735 itmansolution2016@gmail.com.
Tuesday, 19 August 2014
TOKA LIBERIA : WEZI WAIBA MAGODORO NA MASHUKA KATIKA HOSPITALI YA WAGONJWA WA EBORA ,
Polisi nchini Liberia wanaendelea kuwasaka wagonjwa 17 waliotoroka baada ya kliniki maalum ya wagonjwa wa Ebola kuvamiwa na kuporwa Jumamosi iliyopita.
Waziri wa habari wa Liberia, Lewis Brown amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa kuwa wavamizi hao waliondoka na ugonjwa wa Ebola na kuusambaza kwa kuwa walibeba mashuka na magodoro yaliyokuwa yakilaliwa na wagonjwa hao huku yakiwa na majimaji ambayo huusambaza.
Kutokana na tukio hilo, serikali ya nchi hiyo imeagiza eneo hilo kuwekewa vizuizi ili kuepuka kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa huo katika maeneo mengine.
Wakazi wa eneo hilo wameeleza kuwa wavamizi hao walipokuwa wanatekeleza tukio hilo walisikika wakidai kuwa hakuna ugonjwa wa ebola na kwamba hizo ni hadithi za kusadikika za imani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment