He is a Ordinary Diploma Of Computer Science also holder of BSc(Cs)Bachelor of Science in Computer Science from ST. .JOSEPH UNIVERSITY to RUCU. The C.E.O and founder of I.T MAN SOLUTION Tz1 with enough knowledge in Computer mainteance and softwares, android tricks, web designing and graphics design, part-time blogger and softwares distributor with enough knowledge on entrepreneurship. Reach him 24/7 through WhatsApp 0716 68 43 67 and 0762324735 itmansolution2016@gmail.com.
Monday, 13 January 2014
WEMA, KAJALA, WOLPER NA MIRROR WACHENGUA CLUB 71 TEGETA DAR...!JIONEE PICHAZ HAPA....
Wema na Kajala wakishindana kunengua jukwaani.
Wema Sepetu akiimba na Mirror.
Mastaa wa Bongo Muvi, wakiwa jukwaani pamoja na msanii Mirror.
Msanii Mirror akimchombeza Wolper.
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia onyesho hilo.
Jacqueline Wolper akikamua.
UKUMBI wa Club 71 ulioko Tegeta, jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamikia leo ulirindima kwa show bab’kubwa ya msanii Mirror kutoka kampuni ya Endless Fame aliyesindikizwa na madiva katika Bongo Muvi kina Wema Sepetu, Kajala Masanja na Jacqueline Wolper.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment