Kikongwe huyo baada ya kufikishwa kituo cha polisi
Kwa mujibu wa wakaazi wa Kijiji hicho bibi huyo ameonekana leo majira ya saa 12 asubuhi akiwa katika vichaka vilivyo kando ya barabara na alipoulizwa aliongea kidogo tu kuwa anatoka Kijiji cha Nyihogo wilayani Kahama.
Kikongwe huyo akiwa chini huku amezingirwa na kundi la wananchi
Akiwa amelala chini kwa kile kinachodaiwa ni njaa
No comments:
Post a Comment