He is a Ordinary Diploma Of Computer Science also holder of BSc(Cs)Bachelor of Science in Computer Science from ST. .JOSEPH UNIVERSITY to RUCU. The C.E.O and founder of I.T MAN SOLUTION Tz1 with enough knowledge in Computer mainteance and softwares, android tricks, web designing and graphics design, part-time blogger and softwares distributor with enough knowledge on entrepreneurship. Reach him 24/7 through WhatsApp 0716 68 43 67 and 0762324735 itmansolution2016@gmail.com.
Saturday, 23 August 2014
Kundi la ISIS lamkata kichwa Mwandishi wa Marekani, latishia kumkata mwingine kulipa kisasi
Kundi la la wapiganaji wa Kiislamu la Iraq na Syria (ISIS) limetekeleza mauji ya kutisha kwa kumkata kichwa mwandishi wa habari wa Marekani.
Mwandishi huyo ambaye pia ni mpiga picha mashuhuri aliyetajwa kwa jina la James Wright Foley alikamatwa na wanajeshi wa kundi hilo mwaka 2012 nchini Syria alikokuwa akiripoti habari za kuondolewa madarakani Bashir Al-Assad.
Katika video inayoonesha mauaji hayo iliyowekwa YouTube inamuonesha mtu aliyemkata kichwa mwandishi huyo akiwa amejifunika uso kwa mask akiongea kiingereza kwa lafudhi ya Uingereza, akidai kuwa wanafanya hivyo kama sehemu ya kulipiza kisasi kwa rais Obama aliyetoa amri ya mashambulizi ya anga dhidi ya kundi hilo nchini Iraq.
Msemaji wa ISIS, ameonya kuwa kutakuwa na tukio lingine la kulipiza kisasi kwa kumkata kichwa mwandishi wa Marekani Steven Sotloff wanaemshikilia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment