Tuesday, 22 April 2014

Baada ya kutangaza kumfukuza Moyes,huyu ndiye kocha mpya aliyepokea mikoba yake..

giggs
Kutokana na kutofanya vizuri chini ya uongozi wake David Moyes hatimaye leo April 22 Manchester United wamemtangaza Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United Ryan Giggs kukabidhiwa  kwa muda mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi leo

No comments:

Post a Comment