Dereva wa Bodaboda aliye lala pembeni akiwa amelala Chini baada ya kumgonga mtembea kwa miguu, chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa bodaboda hiyo.
Hapa ndipo Ajali ilipotokea , walinusurika kifo kwasababu Lori pichani lilikuwa halipo mwendo kasi
Baadhi ya mashuhuda wakiwa wanamuombea msaada dereva wa bodaboda kwenda Hospitalini
Dereva wa Bodaboda akiwa anachukuliwa kupakiwa katika gari na kupelekwa hospitali kwa matibabu
Baadhi ya Mashuhuda
Alivevaa jaketi la Pinki ni kijana ambaye ndiye aliyegongwa na bodaboda
No comments:
Post a Comment