






mkutano na wakulima wa zao la nanasi katika kata ya mkongoro kuhusu kuunda Ushirika wenye nguvu ili kuwa na soko la uhakika. Pia umuhimu wa kujiunga na hifadhi ya jamii kujiwekea akiba na kufaidika na mafao ya muda mfupi kama mikopo nafuu kupitia saccos. Wakulima 127 wamejiandikisha Jana peke yake.
No comments:
Post a Comment